Monday, November 20, 2017

VODASTAR YAICHAKAZA NOKIA MAGOLI 8-1 MECHI YAKIRAFIKI

 Mshambuliaji wa timu ya VodaStar, ambaye pia ni Mkurugenzi Mkuu wa Vodacom Tanzania PLC, Ian Ferrao (wapili kulia)akishangilia goli baada ya kuifungia timu yake  wakati wa mchezo wakirafiki dhidi ya  timu ya Nokia uliofanyika katika uwanja wa Gymkhana jijini Dar es Salaam,VodaStar iliiadhibu Nokia kwa magoli 8-1.
 Wachezaji wa timu ya VodaStar,wakiongozwa na Mkurugenzi mtendaji wa Vodacom Tanzania PLC, Ian Ferrao (wapili kulia mwenye miwani) wakishangilia kombe lao baada ya kuihadabisha timu ya Nokia kwa magoli 8-1 wakati wa mchezo wakirafiki uliofanyika katika viwanja vya Gymkhana jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
 Kikosi cha timu ya VodaStar kilichoisambaratisha timu ya Nokia kwa magoli 8-1 wakati wa mechi yakirafiki wakiwa katika picha ya pamoja  baada ya mechi hiyo kuisha iliyofanyika katika viwanja vya Gymkhana jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
 Mashabiki watimu ya VodaStar, wakifurahia kombe lao  baada ya timu yao kiichakaza timu ya Nokia kwa magoli 8-1 wakati wamchezo wakirafiki uliofanyika katika viwanja vya Gymkhana jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
 Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania PLC, Ian Ferrao (kushoto) akimshuhudia Mkurugenzi wa Nokia Tanzania,Martin Talbot ( kulia) akimvisha medali nahodha wa timu ya VodaStar, Ngayama Matongo baada ya kuilaza timu hiyo kwa magoli 8-1 wakati wa mechi yakirafiki  uliofanyika katika  viwanja vya Gymkhana jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
 Mshambuliaji wa timu ya  VodaStar, Ian Ferrao ambaye pia ni Mkurugenzi mtendaji wa Vodacom Tanzania PLC, (kushoto) akipongezwa na Mkurugenzi mtendaji wa Nokia Tanzania, Martin Talbot  kwa kuchaguliwa kuwa mchezaji bora wa mchezo  wakati wa mchezo wa kirafiki kati ya kampuni hizo ambapo VodaStar iliichapa Nokia kwa magoli 8-1 mwishoni mwa wiki katika viwanja vya Gymkhana jijini Dar es Salaam.
Nahodha wa timu ya Nokia Tanzania,Charles Domingos(kulia) akiachia shuti kali na kuifungia goli timu yake na lapekee wakati wa mechi yakirafiki iliyofanyika katika viwanja vya Gymkhana jijini Dar es Salaam kati ya timu yake na VodaStar ambapo VodaStar waliichakaza timu hiyo kwa magoli 8-1.

No comments: