Monday, October 31, 2016

Kampuni ya Bayport yasherehekea miaka 10 ya kuanzishwa kwake pamoja na watoto wa KCVC



Mgeni rasmi, Mke wa Rais Mstaafu Mama Anna Mkapa, akiongea na wafanyakazi wa Bayport, waandishi wa habari na walimu wa kituo cha kulelea watoto yatima cha Kibaha Children Village Center (KCVC), wakati wakusherehekea miaka 10 ya Bayport ambayo ilifanyika katika kituo hicho juzi, Kibaha mkoani Pwani.

Mkurugenzi Mtendaji wa Bayport, John Mbaga, akiongea na wafanyakaziwa Bayport, waandishi wa habari na walimuwakituo cha kuleleawatotoyatima cha Kibaha Children Village Center (KCVC), wakati wakusherehekeamiaka 10 ya Bayport ambayoilifanyikakatikakituohichojuzi, KibahamkoaniPwani.

Baadhi ya wafanyakazi wa Bayport Tanzania wakiwa valisha fulana watoto yatima wanaolelewa katika kituo cha kulelea Watoto Yatima cha Kibaha Children Village Center, wakati wafanyakazi hao walipokwenda kusherehekea miaka 10 ya kampuni hiyo

Wafanyakazi wa Bayport wakipiga picha ya pamoja kwenye bango lao

Watoto wakibembea wakati wa kusherehekea miaka 10 ya Bayport Tanzania

Watoto wakiwa wanakula pamoja kusherehekea miaka 10 ya Bayport Tanzania








Wafanyakazi wa bayport wakiwa katika picha ya pamoja naviongozi, watoto yatimanawatotowawafanyakaziwa Bayport Tanzania, wakati wa kusherehekea miaka 10 ya Bayport ambayo ilifanyika katika kituo cha kulelea watoto yatima cha Kibaha Children Village Center (KCVC), wengine pichani (Kuliakwa Mama Mkapa) ni MkurugenziMtendajiwa Bayport John Mbaga na Mkuu wa kitengo cha Masoko na Mawasiliano NgulaCheyo.

No comments: