Monday, August 31, 2015

SIMU TV: HABARI ZA USIKU WA LEO

Jeshi la polisi kanda maalum ya Dar es salaam limewatia mbaroni majambazi sugu 38 wakiwa na silaha za kivita kwa tuhuma mbalimbali. http://youtu.be/Iw4G2yTtLXc

Mgombea mwenza wa uraisi wa CCM ahaidi kujenga na kuboresha skimu za umwagiliaji pamoja na kuondoa tatizo la maji wilayani Bayi.http://youtu.be/cmErc5QXrWY

Mgombea uraisi Kupitia Chadema Edward Lowassa aendelea kunadi sera zake wilayani Makambako huku akihaidi kuresha afya, na tatizo la maji. http://youtu.be/lksrCjT18jk

Wizara ya  sayansi na teknolojia yatangaza rasmi kuanza kutumika kwa sheria ya makosa ya mtandao hapo kesho huku ikitoa tahadhari. http://youtu.be/psoGHFueeuw

Polisi Mkoani Morogoro imewapandisha kizimbani watu 10 kwa tuhuma za kuchoma kituo cha polisi pamoja na kula njama za kutenda kosa. http://youtu.be/LWfOIuMdtTs

Ukosefu wa mafunzo ya udereva wa kujihami miongoni mwa madereva wengi hapa nchini waelezwa kuwa sababu kubwa ya ajali za barabarani.http://youtu.be/oDSm8sR-Rr8

Mgombea uraisi wa CCM DR.Magufuli ahaidi kuondoa kero za wakulima mkoani Ruvuma huku akihaidi kuwapatia umemehttp://youtu.be/SDEMXpHmt-s

Chama cha ADC chazindua kampeni zake za uraisi kitaifa katika viwanja vya Tangamano jijini Tanga. http://youtu.be/q9vLs7UpDjQ

Mgombea uraisi Kupitia Chadema Edward Lowassa aendelea kunadi sera zake Mkoani Njombe huku akihaidi kutatua migogoro ya ardhi. http://youtu.be/P5MUnVhmExw

Mgombea mwenza wa CCM afanya mikutano ya makundi mbalimbali ya wanawake wa mkoa wa Dodoma huku akihaidi neema kwa walemavu na wanawake wajasiriamali.http://youtu.be/Z1Wk4TgEEHI

Mgombea wa CCM ahaidi kupambana na Mafisadi pamoja na watendaji wazembe kazini endapo atachaguliwa kuwa raia wa Tanzania. http://youtu.be/1-6B3UUbNME

Katibu mkuu wa CHADEMA, Dr. Willbroad Slaa avunja ukimya apanga kuongea na watanzania kupitia vyombo vya habari hapo kesho. http://youtu.be/rVxs43Ais68

Umoja wa vyama vya katiba vya wananchi UKAWA wazindua kampeni zake katika jimbo la Babati huku akihaidi maendeleo katika jimbo hilo.http://youtu.be/wgabm6dJj8w

Shirika la umeme nchini Tanesco lakanusha kutumika kisiasa kuhujumu baadhi ya vyama huku liki bainisha matengenezo yanayoendelea. http://youtu.be/urYUtHuOkZc

Mvutano waripotiwa kuendelea katika umoja wa katiba ya wananchi UKAWA kuhusiana na kusimamisha Mgombea mmoja jimbo la Mtwara mjini.http://youtu.be/2AGN1uWo4mQ

Katika hali ya kusikitisha mtu mmoja akutwa amekatwa viungo mbalimbali vya mwili wake ikiwemo nyeti katika chumba cha Hoteli mkoani Arusha.http://youtu.be/6irzDc7sKGQ

Chama cha Mapinduzi CCM mkoani Dar es salaam  chazindua kampeni zake za ubunge na udiwani katika majimbo ya mkoa huo. Chama cha Mapinduzi Mkoani Morogoro chazindua kampeni zake za ubunge na udiwani
katika kata za jimbo la Morogoro mjini. http://youtu.be/vrEU3QjlStw

Chama cha ACT jimbo la Bukoba mjini chazindua kampeni za ubunge jimboni humo huku kikiwataka wananchi kutochagua viongozi wenye migogoro.http://youtu.be/6Z4mYbPkKzs

Mgombea uraisi Kupitia Chadema Edward Lowassa aendelea kunadi sera zake Mkoani Njombe huku akihaidi kuondoa matabaka kati ya masikini na matajiri.http://youtu.be/cVVj2r1mI-M

No comments: