Sunday, November 30, 2014

Mkutano wa Wakuu wa Nchi Za EAC Wakamilika Nairobi

 Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mh. Samuel Sitta (kulia) na Naibu Waiziri wa TAMISEMI (Elimu) Mh. Kassim Majaliwa wakizungumza nje ya Ukumbi wa Mkutano wa Kenyatta kabla ya kuanza kwa Mkutano wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wa Miundombinu Nov 29, 2014,Nairobi
 Mkurugenzi wa Miundombinu na Sekta za Kijamii wa Wizara Bw. George Lauwo (kushoto) akifuatilia mkutano wa Wakuu wa Nchi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kuhusu Miundombinu Nov 29, 2014 Nairobi, Kenya.
 Kaimu Mkurugenzi wa Sera na Mipango wa Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki Bw. Petro Lyatuu akifuatilia Mkutano wa Miundombinu wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya Nov 29, 2014 Nairobi,
 Mfanyakazi wa Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki Bi. Edna Chuku akifuatilia mkutano wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya kuhusu Miundombinu Nov 29, 2014 Nairobi, Kenya

Katibu Mkuu wa Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki Bi. Joyce Mapunjo (kushoto) akifuatilia Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki kuhusu Miundombinu uliofanyika leo Novemba 29, 2014 Nairobi Kenya.

 Naibu Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mh. Dkt Abdullah Juma Saadalla (kushoto), Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais- Utawala Bora (katikati) Mh. George Mkuchika na Naibu Waziri wa TAMISEMI (Elimu) Bw. Kassim Majaliwa wakifuatilia Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki kuhusu Miundombinu uliofanyika leo Novemba 29, 2014 Nairobi Kenya
 Naibu Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mh. Dkt Abdullah Juma Saadalla (kushoto), Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais- Utawala Bora (katikati) Mh. George Mkuchika na Naibu Waziri wa TAMISEMI (Elimu) Bw. Kassim Majaliwa wakifuatilia Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki kuhusu Miundombinu uliofanyika leo Novemba 29, 2014 Nairobi Kenya
 Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mh. Samuel Sitta akitoa hotuba yake wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki kuhusu Miundombinu leo Novemba 29, 2014 Nairobi, Kenya

Katibu Mkuu wa Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki Bi. Joyce Mapunjo (kushoto) akifuatilia Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki kuhusu Miundombinu uliofanyika leo Novemba 29, 2014 Nairobi Kenya

 Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Afrika Mashariki Bw. Amantius Msole (kulia) na Naibu Mwanasheria Mkuu Mh. George Masaju walifuatilia Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki kuhusu Miundombinu leo Novemba 29, 2014 Nairobi, Kenya

Makamu wa Rais wa Kenya Bw. William Ruto akizungumza kwenye Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki kuhusu Miundombinu leo Novemba 29, 2014 Nairobi, Kenya

No comments: