Saturday, November 30, 2013

Mhe Angela Kairuki afungua mkutano wa Maadhimisho ya Miaka 30 ya Tume

Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe Angelah Kairuki akifungua Mkutano wa Maadhimisho ya Miaka 30 ya Tume
 Mwenyekiti wa Tume Mhe Jaji Aloysius Mujulizi akisoma taarifa yake wakati wa kufungua mkutano wa Maadhimisho ya Miaka 30 ya Tume
  Baadhi ya Wastaafu wa Tume wakiwa katika mkutano wa maadhimisho ya miaka 30 ya Tume.
 Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ambaye sasa ni Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Mhe Jaji Mstaafu Damian Lubuva akichangia mada wakati wa maadhimisho ya miaka 30 ya Tume
 Spika Mstaafu Mhe Pius Msekwa akiwasilisha mada wakati wa mkutano wa Maadhimisho ya Miaka 30 ya Tume
  Aliyekuwa Msajili wa Vyama vya Siasa na Kamishna wa Tume Bw. George Liundi akichangia mada katika Mkutano wa Maadhimisho ya Miaka 30 ya Tume
 Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ambaye sasa ni Jaji wa Mahakama ya Rufaa Mhe. Jaji Profesa Ibrahim Juma akitunukiwa Cheti na Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Angelah Kairuki
 Picha ya pamoja ya Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe Angelah Kairuki na Wenyeviti wastaafu wa Tume
 Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe Angelah Kairuki akiwa katika picha ya pamoja na Makatibu Watendaji wastaafu wa Tume waliokaa Bw. Nathaniel Issa (Kulia) na Bw. Japhet Sagasii (wa pili kulia).
Picha ya Pamoja baina ya Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Angelah Kairuki na washiriki wa Mkutano wa maadhimisho ya miaka 30 ya Tume.  Picha zote na Munir Shemweta LRCT

No comments: