Monday, July 30, 2012

Masai Club yazinduliwa upya Arusha

 Kundi la Burudani la burudani la Gotagious Danceteam Africa kutoka jijini Arusha wakitoa burudani wakati wa uzinduzi wa MASAI CAMP ya jijini humo ambayo sasa itakuwa ikitoa vionjo tofauti kwa vyakula na burudani za aina mbalimbali pamoja na vinywaji vya kila namna kwa wageni watakao kuwa wakitembelea kituo hicho cha maraha kutwa nzima.
Wageni maalum katika uzinduzi huo Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) Teddy Mapunda (kushoto) na timu yake waklipata burudani na vyakula vya aina mbalimbali.
 Burudani ya vijana hawa ilikuwa ni ya nguvu na yakuvutia.
 Wageni kutoka nje ya nchi ambao wapo jijini Arusha kwa shughuli za utalii, masomo na kazi za kujitolea wakifuatilia burudani kutoka kundi hilo la Gotagious Danceteam Africa lililokuwa likip[oromosha burudani kali.
wateja walio hudhuria katika uzinduzi huo hawakutamani burudani hiyo ikatike maana ilikonga nyoyo zao na kupata ladha ile halisi ya mahali tulivu kwa burudani na vinywaji huku misosi ikiendelea.
 furaha ya watazamaji haikuweza kufichika...
 Burudani ya Disco iliporomoshwa na mkali huyu kutoka majuu
Wadau wa Masai Camp ya mjiji Arusha wakilamba picha ya pamoja usiku wa jana wakati wakitambulisha upya kiota hichi cha maraha.
 Teddy Mapunda 'Aunt T' akishow love na mmoja wa waendeshaji wa Masai Camp
Burudani iliachiwa mpaka majogoo na watu waliruka majoka ya hatari.....ilikuwa ni raha tupu.

No comments: