Monday, November 28, 2011

Rais Kikwete ashiriki MAHAFALI YA 11 YA CHUO CHA UONGOZI WA MAHAKAMA LUSHOTO

 Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akipokewa na Jaji Mkuu Mh Mohamed Chande Othman mara baada ya kuwasili katika sherehe za mahafali ya 11 ya Chuo cha Uongozi wa Mahakama Lushoto, mkoani Tanga
 Rais Jakaya Kikwete akipokewa na Jaji Mkuu Mh Mohamed Chande Othman kwenye sherehe hizo
 Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na Waziri wa Sheria mstaafu Mh Bakari Mwapachu
 Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na Jaji Bwana
 Rais Kikwete akisalimiana na mwakilishi toka PPF
 Waalikwa wakimsubiri kumlaki mgeni rasmi
 Rais Kikwete akisalimiana na mke wa Jaji Mkuu, Mama Saada Othman
 Wapiganaji wa habari wa mkoani Tanga walikuwepo kurekodi sherehe hii
 Rais Kikwete  akifunua kitambaa kuashiria kuwekwa kwa jiwe la msingi kwa jengo la hosteli ya wanaume chuoni hapo. Nyuma yake ni hosteli ya wanawake ambayo imekamilika
 Rais Jakaya Kikwete akipata maelezo ya ujenzi wa hosteli ya wanaume toka kwa Msajili wa Mahakama ya Rufani Mh Francis Mutungi
 Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akifunua kitambaa kufungua hosteli ya wanawake iliyopewa jina lake
 Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akikata utepe kufungua hosteli ya wanawake iliyopewa jina lake
 Mama Salma Kikwete akikagua moja ya vyumba katika hosteli ya wanawake chuoni hapo. Kushoto ni Waziri wa Katiba na Sheria Mh. Celina Kombani na Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mama Chiku Gallawa
 Rais Kikwete akiongozana na uongozi wa chuo kuelekea kwenye mahafali
 Baadhi ya wafanyakazi katika chuo hicho wakiwa katika mahafali
 Waziri wa Sheria na Katiba Mh Celina Kombani (shoto) akiwa na Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mh Chiku Gallawa na mkuu wa Wilaya ya Lushoto na viongozi wastaafu wa chuo hicho pamoja na wake wa Jaji Mkuu na mke wa mkuu wa Chuo
 Wimbo wa Taifa
 Mama Salma kikwete akiwa na Waziri wa Sheria na katiba Mh Celina Kombani (kulia) na Mke wa Jaji Mkuu, Mama Saada Othman (shoto)
 Mke wa Jaji Mkuu Mama Saada Othman akimpongeza Mkuu wa Chuo wa kwanza baada ya kupewa tuzo na Rais Kikwete
 Rais kikwete na Mama Salma Kikwete katika picha ya pamoja na uongozi wa chuo wa sasa na uliopita pamoja na uongozi wa mkoa wa Tanga na wilaya ya Lushoto
 Mwenyekiti wa Baraza la Chuo na Jaji Mkuu Mh Mohamed Chande Othman akisoma hotuba ya ufunguzi wa Mahafali
  Mama Salma Kikwete akipanda mti
 Juu na Chini Rais Kikwete, Jaji Mkuu Mh Chande Othman na Mkuu wa Chuo wakipozi na wahitimu wa Cheti cha Sheria 

 Rais Kikwete, Jaji Mkuu Mh Chande Othman na Mkuu wa Chuo wakipozi na wahitimu wa Cheti cha Sheria 
 Rais Kikwete akimtunuku tuzo Balozi Paul Rupia aliyekuwa Mwenyekiti wa Baraza la Chuo kilipoanzishwa mwaka 2000
 Rais Kikwete akihutubia
 Rais Kikwete akihutubia kwenye mahafali hayo
Rais Kikwete akiwa na Mwenyekiti wa Baraza la Chuo na Jaji Mkuu Mh Mohamed Chande Othman kwenye mahafali hayo
Rais Kikwete akipanda mti

No comments: