Sunday, August 8, 2010

MASHABIKI WA SIMBA WALIOHUDHURIA SIMBA DAY LEO

Green stand ilifurika

Mzee Magoma Mtoto na kina Muchacho

Friends of Simba
Zamoyoni Mogella na Abdalla 'King' Kibaden Mputa walikuwepo
Mdau wa Simba wa Morogoro Shaaban Nyaa ndani ya nyumba

Simba wakiwa upande wa Yanga wa jukwaa kuu
Mashabiki wa Simba wenye ulemavu walikuwapo kibao
Maveteran wa Simba. Shoto ni Abdallah Kibaden akiwa na Zamoyoni Mogella. Nyuma yao ni Arthur Mwambeta (shati la mistari)
Kocha wa Yanga akiwa miongoni mwa Simba
Kocha wa Yanga akigoma kupokea fulana ya Simba











No comments: